Take a fresh look at your lifestyle.

Wizara Ya Madini Yaanza Utekelezaji Wa Agizo La Rais Magufuli

wizara Ya Madini Yaanza Utekelezaji Wa Agizo La Rais Magufuli
wizara Ya Madini Yaanza Utekelezaji Wa Agizo La Rais Magufuli

Wizara Ya Madini Yaanza Utekelezaji Wa Agizo La Rais Magufuli Masoko ya madini yaanza: baada ya takribani miaka 10 ya tamko katika sheria ya madini ya mwaka 2010 la kuanzisha masoko ya madini kukwama, hatimaye januari mwaka huu, rais magufuli alitoa agizo na sasa limetekelezwa. masoko haya ni vituo vya kuthibiti ubora, thamani na takwimu za madini. mpaka mei 29, 2019 masoko 24 yalishafunguliwa na kuanza kazi. Ministry of minerals republic of tanzania. "sekta ya madini kwa uchumi imara na maendeleo endelevu". ushiriki wa tanzania katika maonesho ya 68 ya vito na usonara katika jiji la bangkok nchini thailand umewavutia wafanyabiashara mbalimbali wa madini kutokana na wengi kutumia malighafi za madini kutoka nchini. waziri wa madini dkt.

wizara Ya Madini Yaanza Utekelezaji Wa Agizo La Rais Magufuli
wizara Ya Madini Yaanza Utekelezaji Wa Agizo La Rais Magufuli

Wizara Ya Madini Yaanza Utekelezaji Wa Agizo La Rais Magufuli Tarehe : may 2, 2019, 6:58 p.m. katibu mkuu wa wizara ya madini, profesa simon msanjila amezindua soko la madini chunya ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa maagizo yaliyotolewa na rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania, dkt. john pombe magufuli ya kutaka wilaya ya chunya kuhakikisha imekamilisha na kuzindua soko la madini ndani ya kipindi cha. Uzinduzi wa soko hilo ni sehemu ya utekelezaji wa agizo la rais john magufuli alilotoa januari 22, jijini dar es salaam mwaka huu kupitia mkutano wake na wafanyabiashara wa madini. awali, mkuu wa mkoa wa geita, robert gabriel alisema mikoa yenye rasilimali ya madini imekuwa na wananchi maskini lakini jambo hilo halitajitokeza kwa mkoa huo tena. Waziri wa madini mhe doto mashaka biteko akizungumza wakati akitoa taarifa ya wizara ya madini kwenye mkutano wa uanzishwaji wa masoko ya madini uliohudhuriwa na wakuu wa mikoa na makatibu tawala wa mikoa tanzania bara katika ukumbi wa hazina jijini dodoma, l eo tarehe 26 januari 2019. (picha na mathias canal). Wizara ya madini yaanza utekelezaji wa agizo la rais magufuli, kuanzisha masoko ya madini. matokeo chanya january 26, 2019 taarifa vyombo vya habari, taarifa ya habari, tanzania mpya , waziri mkuu acha maoni 856 imeonekana.

Comments are closed.