Take a fresh look at your lifestyle.

Utenzi Mwengine Mkali Unaomchokoza Rais Mwinyi Act Wazalendo Huu Hapa

utenzi Mwengine Mkali Unaomchokoza Rais Mwinyi Act Wazalendo Huu Hapa
utenzi Mwengine Mkali Unaomchokoza Rais Mwinyi Act Wazalendo Huu Hapa

Utenzi Mwengine Mkali Unaomchokoza Rais Mwinyi Act Wazalendo Huu Hapa Join this channel to get access to perks: channel uczuauqtdfni3wiffn87rsdq joinjoin to our whatsap group as member of rvs:follow this. Unguja. chama cha act wazalendo kimeweka wazi jinsi viongozi na wanachama walivyokerwa na kauli ya naibu katibu mkuu mstaafu, nassor mazrui kumsifu hadharani rais wa zanzibar, dk hussein mwinyi na kumtaka asisikilize maneno ya wakosoaji badala yake aendelee kuchapa kazi. hayo yameelezwa na makamu mwenyekiti wa chama hicho zanzibar, ismail jussa.

rais mwinyi Akutana Uso Kwa Uso Na Uongozi Wa Juu Wa act wazalendo
rais mwinyi Akutana Uso Kwa Uso Na Uongozi Wa Juu Wa act wazalendo

Rais Mwinyi Akutana Uso Kwa Uso Na Uongozi Wa Juu Wa Act Wazalendo Licha ya act wazalendo kutotambua ushindi wake awali, rais mwinyi alifanya juhudi binafsi kupeleka barua kwa chama hicho kuwaomba washiriki katika serikali. baada ya vikao vya hapa na pale hatimae. Rais mwinyi pia amesema amekiandikia barua act wazalendo kukiomba kupeleka jina la makamu wa kwanza wa rais baada ya chama kupata asilimia ya zaidi ya 10 kwa mujibu wa katiba. baraza jipya la mawaziri zanzibar: 1. waziri wa nchi, ofisi ya rais, uchumi na uwekezaji – mheshimiwa mudrik ramadhan soraga. 2. waziri wa nchi, ofisi ya rais, tawala. Rais mwinyi amezisuuza roho za wengi kwa maamuzi yake. zilisuuzika zaidi ilipobainika kaandika barua kwa chama cha act wazalendo, akikikaribisha katika serikali ya umoja wa kitaifa (suk). Ipo wazi kuwa act wazalendo wanao mtihani mgumu kuelekea uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2025, dhidi ya serikali ya ccm inayoongozwa na rais mwinyi hapa visiwani zanzibar, sera na mipango ya awamu ya nane ndio siri ya ushindi wa kishindo hapa zanzibar, aidha uzalendo na falsafa za zanzibar kwanza ni ishara nyingine ya ushindi wa kishindo kwa rais.

Comments are closed.