Take a fresh look at your lifestyle.

Sikiliza Maombi Haya Yenye Kufungua Vifungo Vya Giza Kwa Jina La Yesu

maombi Ya Ufungulivu sikiliza maombi haya Upate Kutoka kwenye vifun
maombi Ya Ufungulivu sikiliza maombi haya Upate Kutoka kwenye vifun

Maombi Ya Ufungulivu Sikiliza Maombi Haya Upate Kutoka Kwenye Vifun Nasambaratisha kila neno la uovu lililosemwa juu yangu na famila yangu katika jina la yesu. naharibu na kuisambaratisha madhabahu yenu mliyo fanyia kafara kwa damu ya yesu. navunjavunja na kubomoa kila uovu na uchawi mnaonifanyia katika jina la yesu. nairudisha misukule yote na majini yote yawarudie nyie na kuwalipa dhambi zote mnazo fanya. Katika jina la yesu. baba, bwana nasimama sawasawa na neno lako katika joshua 1:8. naomba maneno yako yasindoke vinywani mwetu wala mioyoni mwetu, bali tuyatafakari mchana na usiku, ndipo tutakapoifanikisha njia yetu. bwana ninaomba mambo yo yote yaliyo ya kweli, yo yote yaliyo ya staha, yo yote yaliyo ya haki, yo yote yaliyo safi, yo yote.

sikiliza maombi haya Kila Siku Kabla Ya Kulala maombi yenye Kuleta
sikiliza maombi haya Kila Siku Kabla Ya Kulala maombi yenye Kuleta

Sikiliza Maombi Haya Kila Siku Kabla Ya Kulala Maombi Yenye Kuleta Maombi ya kumteketeza shetani: baba katika jina la yesu: 1. ninayaharibu na kuyateketeza mamlaka yote aliyopewa shetani na mababu mababa, ndugu zangu katika jina la yesu. 2. nina zilaani na kuziteketeza kwa damu ya yesu roho zote zinazoendelea kutilia mkazo hayo maagano katika maisha yangu na naziteketeza na kuzivunavunja kwa jina la yesu. 3. 5. ee bwana yesu, shusha moto juu ya kila roho ya mauti na kuzimu, iliyoandaliwa kwa ajili yangu, katika jina la yesu. 6. nina ponda kichwa na kukanyaga kila mkia wa majoka ya kiroho, katika jina la yesu. 7. upanga wa moto, na uanze kukata kila kifungo walichokifunga wazazi, katika jina la yesu. 8. Hii inaonyesha wazi kwamba kupitia nguvu ya damu ya yesu, wakristo wanaweza kupata ukombozi kutoka kwa dhambi na nguvu za giza. jinsi ya kutumia nguvu ya damu ya yesu. kutumia nguvu ya damu ya yesu ni rahisi sana. kwa kuanza, mkristo anahitaji kumwomba mungu kwa ajili ya uponyaji na ukombozi. kisha, mkristo anapaswa kuomba kwa jina la yesu. Njia pekee ya kujinasua kutoka kwenye nguvu za giza ni kwa kumfanya yesu awe mkombozi na mwokozi wako. mfanye rafiki yako na mkaribishe kwenye maisha yako. watafute wachungaji ili wakuombee, huna haja ya kuteseka. maombi: baba ninakushukuru, natamka kwa jina la yesu, roho yoyote inayotenda mabaya, nguvu za ushirikina na kila roho iliyofanya mtu.

Comments are closed.