Take a fresh look at your lifestyle.

Njia Salama Za Kutoa Sumu Mwilini Jifunze Hapa

Jinsi Ya kutoa sumu mwilini Part 1 Youtube
Jinsi Ya kutoa sumu mwilini Part 1 Youtube

Jinsi Ya Kutoa Sumu Mwilini Part 1 Youtube Njia salama za kutoa sumu mwilini.tuandikie kile ulichojifunza kwenye comments, gonga “like” pamoja na “ku share” link ya somo hili kwa wengine. asante.kuwa. Njia 16 za kutoa sumu mwilini mwako | detox na kuboresha afya yako:unahisi uchovu, uzito? mwili wako unaweza kuwa umejazwa na sumu! video hii inakuonyesha nj.

Jinsi Ya kutoa sumu mwilini Youtube
Jinsi Ya kutoa sumu mwilini Youtube

Jinsi Ya Kutoa Sumu Mwilini Youtube Uondoaji wa sumu mwilini hutegemeana na aina ya sumu yenyewe. njia ya kwanza ni matumizi ya dawa za kuivunja nguvu ile sumu husika ambapo kitaalamu hujulikana kwa jina la antidote, hapa ni baada ya uchunguzi kufanyika na kugundua aina ya sumu iliyokuathiri na kisha utapewa dawa kulingana na majibu ya uchunguzi wa kitaalamu. Kuzidi kwa sumu mwilini kunaweza kusababisha mabadiliko kadhaa katika mwili wako. katika hatua za mwanzo, mwili wako hujaribu kutoa sumu hizo kwa njia yoyote muhimu. unaweza kuharisha, kupiga chafya au kukohoa, kukojoa kupita kiasi, maumivu ya koo, kiungulia, msongamano wa pua au mafua (kutoka kwa ute mwingi), au kutapika. Mtu aliyeungua unaweza kumpatia huduma ya kwanza kwa njia zifuatazo: 1.mwagilizia maji kwa muendelezo kwenye jeraha kwa muda wa dakika 15. ikishindikana kufanya hivi. 2.pepea sehemu yenye jeraha, ila usitumie barafu kwani linaweza kusababisha athari zaidi. 3.unaweza kumpa mgonjwa dawa za maumivu kupunguza maumivu. Miss zomboko said: njia za asili za kukusaidia kupunguza uzito: 1. tambua mahitaji ya karoli (nguvu) kabla hujaamua jinsi ya kula, unapaswa kufahamu ni kalori (nguvu) kiasi gani unahitaji kwa siku. hii inaweza kupatikana kwa kikokotozi maalumu cha kalori (nguvu) kinachotumia kimo, uzito, umri na shughuli za mhusika.

njia 8 salama za kuondoa sumu mwilini Mrbunduki
njia 8 salama za kuondoa sumu mwilini Mrbunduki

Njia 8 Salama Za Kuondoa Sumu Mwilini Mrbunduki Mtu aliyeungua unaweza kumpatia huduma ya kwanza kwa njia zifuatazo: 1.mwagilizia maji kwa muendelezo kwenye jeraha kwa muda wa dakika 15. ikishindikana kufanya hivi. 2.pepea sehemu yenye jeraha, ila usitumie barafu kwani linaweza kusababisha athari zaidi. 3.unaweza kumpa mgonjwa dawa za maumivu kupunguza maumivu. Miss zomboko said: njia za asili za kukusaidia kupunguza uzito: 1. tambua mahitaji ya karoli (nguvu) kabla hujaamua jinsi ya kula, unapaswa kufahamu ni kalori (nguvu) kiasi gani unahitaji kwa siku. hii inaweza kupatikana kwa kikokotozi maalumu cha kalori (nguvu) kinachotumia kimo, uzito, umri na shughuli za mhusika. Dawa ya kutoa sumu mwilini. sumu ni kitu chochote ambacho kinaweza kuingia mwilini na kusababisha mifumo ya mwili ishindwe kufanya kazi ipasavyo. unafikiria kuwa una afya njema, lakini haujisikii vyema. unapuuza, unaona ni vitu vidogo vidogo. hivyo, haushughuliki kwenda hospitali au kwa wataalamu wa afya kwa ajili ya uchunguzi na matibabu. Jitahidi kunywa glasi 8 za maji safi na salama ambayo yatasaidia kutoa sumu na uchafu mwilini. 9. ainisha vyakula utakavyokula kuandika mpangilio wa vyakula utakavyokula kutakulinda na kuhakikisha vyakula vya kutia nguvu unavyokula ni sahihi na pia ni kikumbusho cha kila wakati juu ya ni vyakula gani unahitaji.

Comments are closed.