Take a fresh look at your lifestyle.

Ndoa Ya Dr Mwaka Na Bi Queen Masanja Haijavunjika

Baraza La Bakwata Lavunja ndoa ya dr mwaka na bi queen
Baraza La Bakwata Lavunja ndoa ya dr mwaka na bi queen

Baraza La Bakwata Lavunja Ndoa Ya Dr Mwaka Na Bi Queen “ndoa ya bwana juma mwaka juma ‘dr mwaka’ na mkewe bi qeenie oscar masanja haijavunjika na kwa hivyo kwa kuwa kuna malalamiko yaliyopelekwa katika ofisi yo qadhi, malalamiko hayo au kesi hiyo iendelee katika ofisi ya qadhi na baraza la ulamaa linafuatilia kwa karibu juu ya namna shauri hilo na mengine yanayoendelea kwa ajili ya kuchunga nidhamu katika baraza.”. Ndoa ya dr. juma mwaka juma na mkewe queen oscar masanja haijavunjika, limesema baraza la ulamaa lililokutana kwa dharura leo jijini dar es salaam ikiwa ni siku chache toka sheikh mkuu wa mkoa wa dar es salaam atangaze kuvunjika kwa ndoa hiyo. taarifa ya baraza hilo kwa vyombo vya habari leo imesema baada ya kuliangalia kwa kina swala la ndoa.

ndoa Ya Dr Mwaka Na Bi Queen Masanja Haijavunjika Baraza La Ulamaa
ndoa Ya Dr Mwaka Na Bi Queen Masanja Haijavunjika Baraza La Ulamaa

Ndoa Ya Dr Mwaka Na Bi Queen Masanja Haijavunjika Baraza La Ulamaa Baraza la ulamaa la kiislamu limesema ndoa ya juma mwaka juma maarufu dkt. mwaka na mkewe queenie oscar masanja haijavunjika, hivyo malalamiko ya kesi hiyo yaendelee katika ofisi ya qadhi. uamuzi huo umefikiwa leo januari 27, 2023 baada ya baraza hilo kukutana kwa dharura kwa ajili ya masuala mbalimbali ikiwemo suala hilo linalowahusisha dkt. mwaka na mkewe. aidha, baraza limesema muhimili wa. Taarifa ya baraza hilo, iliyotolewa leo ijumaa, tarehe 27 januari 2023, imeeleza kuwa hatua ya viongozi wa bakwata jijini dar es salaam, kuingilia shauri la ndoa ya juma mwaka na mkewe queenie oscar, ni kinyume na misingi na maadili ya uislamu. “ndoa ya bwana juma mwaka (dk. mwaka) na mkewe bi. queenie oscar masanja, haijavunjika na kwa kuwa. #bakwata #drmwaka #zvponlinetv #daressalaam. Baraza la ulamaa katika kikao chake cha dharura kilichojadili nambo mbalimbali kilichofanyika january 27, 2023 kimetengua uamuzi wenu wa kuivunja ndoa ya ndugu juma mwaka na bi queen oscar masanja kwa kuhukumiwa katika mhimili usiohusika kinyume na mhimili wa mahakama ya kadhia. kesi hiyo shauri no 041 2022 linatakiwa kuendelea katika mhimili.

ndoa ya Dk mwaka na queen masanja Ilivyovunjika Imemaliza Mwendo
ndoa ya Dk mwaka na queen masanja Ilivyovunjika Imemaliza Mwendo

Ndoa Ya Dk Mwaka Na Queen Masanja Ilivyovunjika Imemaliza Mwendo #bakwata #drmwaka #zvponlinetv #daressalaam. Baraza la ulamaa katika kikao chake cha dharura kilichojadili nambo mbalimbali kilichofanyika january 27, 2023 kimetengua uamuzi wenu wa kuivunja ndoa ya ndugu juma mwaka na bi queen oscar masanja kwa kuhukumiwa katika mhimili usiohusika kinyume na mhimili wa mahakama ya kadhia. kesi hiyo shauri no 041 2022 linatakiwa kuendelea katika mhimili. Ndoa ya mtaalamu wa tiba mbadala dokta mwaka na mkewe queen masanja imevunjwa rasmi leo jumatano, januari 25, 2023.ndoa hiyo imevunjwa baada ya kikao cha kam. Mwaka ambaye mtaalamu wa tiba mbadala, na mkewe queen masanja ilivunjwa jumatano, januari 25, 2023. ===== ndoa ya dr. juma mwaka juma na mkewe queen oscar masanja haijavunjika, limesema baraza la ulamaa lililokutana kwa dharura leo jijini dar es salaam ikiwa ni siku chache toka sheikh mkuu wa mkoa wa dar es salaam atangaze kuvunjika kwa ndoa hiyo.

Comments are closed.