Take a fresh look at your lifestyle.

Namna Ya Kuoga Janaba вђ Uongofu

Mambo ya Lazima Ktk kuoga janaba Damu ya Hedhi Ikikata Weka Pamba
Mambo ya Lazima Ktk kuoga janaba Damu ya Hedhi Ikikata Weka Pamba

Mambo Ya Lazima Ktk Kuoga Janaba Damu Ya Hedhi Ikikata Weka Pamba Somo la fiqhi. kuoga janaba kuna namna mbili. 1) josho la kutosheleza nalo ni lazima kupatikane mambo mawili. a) kutia nia ya kuondosha janaba. b) kueneza maji mwili mzima. 2) josho la ukamilifu. nao ni kuoga kama alivyo oga bwana mtume ﷺ kama ilivyoelezwa na maimunah, mama wa waumini aliposema: وَضَعْتُ لِرَسُولِ. Imepokelewa kutoka kwa maimuna mama wa waumini radhi za allah ziwe juu yake, amesema: nilimuandalia kuoga mtume rehema na amani ziwe juu yake, nikamfunika nguo, na akamimina maji juu ya mikono yake na akaiosha, kisha akamimina maji kwa mkono wake wa kulia juu ya mkono wake wa kushoto, kwa hiyo, akaosha sehemu zake za siri na kuzisafisha, akapiga ardhi kwa mkono wake, akaufuta, kisha akauosha.

namna Sahihi ya kuoga janaba Maji ya Kwenye Ndoo Youtube
namna Sahihi ya kuoga janaba Maji ya Kwenye Ndoo Youtube

Namna Sahihi Ya Kuoga Janaba Maji Ya Kwenye Ndoo Youtube Dalili na ushahidi wa kuoga ni neno lake mwenyezi mungu mtukufu: وَإِن كُنتُمْ جُنُبًا فَاطَّهَّرُواْ} المائدة:5} [na mkiwa na janaba basi ogeni.] [al maaida:6] na amesema tena mwenyezi mungu mtukufu: وَيَسْأَلُونَكَ عَنِ الْمَحِيضِ ۖ قُلْ هُوَ أَذًى. Na kuoga josho la janaba ni kujimwagia maji mwili mzima (kila sehemu ya mwili ipate maji). njia hii ni kwa ufupi kama ulivyotaka. ama kwa urefu ni kuwa unaosha vitanga vyako vya mkono, kisha unachukua wudhuu kama wudhuu wa swalah pamoja na kuosha miguu yako au bila kuosha. baada ya hapo utatia maji kichwani uhakikishe yamefika mpaka utosini. Namna ya kuoga. linalolazimu katika kuoga ni kueneza maji kwenye mwili kwa namna yoyote ile. lakini inapendekezwa afuate vile mtume ﷺ alivyooga, nayo ni kama ilivyoelezwa na maimunah, mama wa waumini aliposema (mtume aliweka chombo cha maji ya kujitwahirishia na janaba, akajimiminia maji kwenye kitanga cha mkono wa kushoto akitumia kitanga cha mkono wake wa kulia mara mbili au tatu, kisha. Janaba ni hali ya mwanamme au mwanamke kutoa maji (manii) kutika uchi wake wa mbele au kujimai mume na mke, ikiwa watashusha (kutoa manii) au bila kushusha maadam zimekutana tupu zao mbili kwa kuingiliana. kwa asiyeoa au kuolewa ipo njia moja tu ya kimaumbile ambayo anaweza kupata janaba nayo ni kuota na kisha kutoa maji ya manii ima akiwa.

Comments are closed.