Take a fresh look at your lifestyle.

Naibu Waziri Mkuu Dkt Biteko Awavunja Mbavu Akihutubia Wahitimu Chuo Cha Sauti Mwanza

naibu waziri mkuu dkt biteko awavunja mbavu akihutubiaо
naibu waziri mkuu dkt biteko awavunja mbavu akihutubiaо

Naibu Waziri Mkuu Dkt Biteko Awavunja Mbavu Akihutubiaо Naibu waziri mkuu dkt. biteko awavunja mbavu akihutubia wahitimu chuo cha sauti mwanza!⚫️ je, na wewe una habari?⚫️ wasiliana na global tv online: ( 255 71. Naibu waziri mkuu na waziri wa nishati, mhe. dkt. doto biteko ametoa wito kwa makatibu mahsusi nchini kujiendeleza kitaaluma ili kuendana na mabadiliko ya teknolojia sambamba na kuboresha utendajikazi wao. ameyasema hayo mei 23, 2024 jijini mwanza wakati akimwakilisha rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania, mhe. dkt. samia suluhu hassan kufungua mkutano wa kumi.

Wcf naibu waziri mkuu dkt biteko Aipongeza Wcf
Wcf naibu waziri mkuu dkt biteko Aipongeza Wcf

Wcf Naibu Waziri Mkuu Dkt Biteko Aipongeza Wcf Biteko kwa kuteuliwa na rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania, mhe. dkt. samia suluhu hassan kuwa naibu waziri mkuu na waziri wa nishati. wametoa pongezi hizo leo novemba 3, 2023 katika ukumbi wa bunge jijini dodoma ikiwa ni pamoja na kumtakia heri katika majukumu yake mapya ambapo wamesisitiza kuunga mkono juhudi za serikali. Naibu waziri mkuu na waziri wa nishati, mhe. dkt. doto biteko leo agosti 1, 2024 amemwakilisha rais, mhe. dkt. samia suluhu hassan kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa mkutano mkuu wa miaka 70 wa chama cha mawakili tanganyika (tls) inayofanyika ukumbi wa jakaya kikwete, jijini dodoma. maadhimisho hayo yamehudhuriwa na waziri wa katiba na sheria. Mbunge wa sengerema (ccm), hamis tabasamu alipongeza hatua ya kuanzishwa kwa cheo cha naibu waziri mkuu, kwani kitawezesha waziri mkuu kassim majaliwa kupata usaidizi katika utekelezaji wa majukumu yake. “doto biteko ni mwadilifu wala rais hajakosea katika jambo hilo. haya ni mabadiliko makubwa sana katika nchi, tumuunge mkono rais,” alisema. Mapokezi ya naibu waziri mkuu dkt, dotto biteko, bungeni yamevunja rekodi kwa kupokelewa kwa shangwe zito kutoka kwa wabunge wenzake baada ya uteuzi wake.#tb.

Comments are closed.