Take a fresh look at your lifestyle.

Mwanzotv On Twitter Tanzania Jeshi La Polisi Mkoani Mwanza

mwanzotv on Twitter tanzania jeshi la polisi mkoani mwa
mwanzotv on Twitter tanzania jeshi la polisi mkoani mwa

Mwanzotv On Twitter Tanzania Jeshi La Polisi Mkoani Mwa @mwanzotv #tanzania : jeshi la polisi mkoani mwanza linawashikilia watu tisa katika operesheni maalum kwa tuhuma za makosa mbambali ya wizi wa vifaa vikiwemo vyuma , mabomba 26 na simenti vinavyodhaniwa kuwa vya wizi katika mradi wa reli ya kisasa sgr. Waziri masauni amedai kuwa sativa hana ushirikiano mzuri kwa jeshi la polisi kuzungumzia yaliyomkuta hadi kupatikana mkoani katavi. edgar mwakabela (27) maarufu katika mtandao wa x (zamani twitter) kwa jina la sativa alitoweka juni 23, 2024 baada ya kuchukuliwa na watu wasiojulikana na alipatikana mkoani katavi, juni 27, 2024 akiwa na majeraha.

Matukio jeshi la polisi mkoani mwanza Laaswa Kuepuka Rushwa Barmedas
Matukio jeshi la polisi mkoani mwanza Laaswa Kuepuka Rushwa Barmedas

Matukio Jeshi La Polisi Mkoani Mwanza Laaswa Kuepuka Rushwa Barmedas Jeshi la polisi nchini tanzania limetoa onyo kali na kupiga marufuku maandamano yaliyotangazwa na viongozi wa chadema yatakayofanyika tarehe 23 septemba 2024. polisi wameonya kwamba mtu yeyote atakayepatikana akiingia barabarani atakabiliwa na hatua kali za kisheria. Jeshi la polisi tanzania limesema halijapiga marufuku kufanyika mikutano ya hadhara na ile mikutano ya ndani ili mradi inafuata sheria za nchi. kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo na jeshi la polisi makao makuu ni kwamba kilichopigwa marufuku ni mkusanyiko uliokuwa umeitishwa na viongozi wa chadema jijini mbeya kwa kivuli cha kuadhimisha siku. "nafurahia kazi nzuri inayofanywa na jeshi la polisi mkoa wa mwanza, nakushukuru sana kamishna wa polisi jamii kwa kuongoza kwa vitendo maana maafisa watendaji wa kata kuwapo hapa leo ni ishara ya kufanya kazi kwa vitendo." amesisitiza mhe. makalla baada ya kujinasibu kukomesha wizi wa vifaa kwenye mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa (sgr). 620 likes, 60 comments itvtz on june 13, 2024: "#video: jeshi la polisi, mkoani mwanza, linamshikilia aliyekuwa mkuu wa mkoa wa simiyu, dk. yahya nawanda, kwa tuhuma za kumlawiti ". itv tanzania | #video: jeshi la polisi, mkoani mwanza, linamshikilia aliyekuwa mkuu wa mkoa wa simiyu, dk.

Jambo Tv on Twitter jeshi la polisi mkoani mwanza Linamshikilia
Jambo Tv on Twitter jeshi la polisi mkoani mwanza Linamshikilia

Jambo Tv On Twitter Jeshi La Polisi Mkoani Mwanza Linamshikilia "nafurahia kazi nzuri inayofanywa na jeshi la polisi mkoa wa mwanza, nakushukuru sana kamishna wa polisi jamii kwa kuongoza kwa vitendo maana maafisa watendaji wa kata kuwapo hapa leo ni ishara ya kufanya kazi kwa vitendo." amesisitiza mhe. makalla baada ya kujinasibu kukomesha wizi wa vifaa kwenye mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa (sgr). 620 likes, 60 comments itvtz on june 13, 2024: "#video: jeshi la polisi, mkoani mwanza, linamshikilia aliyekuwa mkuu wa mkoa wa simiyu, dk. yahya nawanda, kwa tuhuma za kumlawiti ". itv tanzania | #video: jeshi la polisi, mkoani mwanza, linamshikilia aliyekuwa mkuu wa mkoa wa simiyu, dk. 254 likes, 0 comments polisi.tanzania on june 24, 2024: "ukaguzi magari ya wanafunzi mwanza kuzingatia maeneo saba, wamiliki waonywa jeshi la polisi mkoani mwanza limezindua kampeni ya wiki moja ya ukaguzi wa magari yanayotoa huduma za usafirishaji wa wanafunzi katika shule za umma na binafsi jijini humo kwa kuzingatia maeneo saba kwenye gari husika. katika kampeni hiyo iliyozinduliwa juni. 710 likes, 4 comments itvtz on august 7, 2024: "#habari: jeshi la polisi mkoani mwanza kwa kushirikiana na wananchi wa wilaya ya sengerema,katika eneo la butala mawe mawili,kisiwa cha yozu limefanikiwa kuopoa miili ya watu wawili miongoni mwa watu watano,ambao walizama maji wakati wakisafiri kutoka kisiwa cha yozu kuelekea kitongoji cha itabagumba kata ya burihaeke.

Watetezitv on Twitter jeshi la polisi mkoani mwanza Linamshikili
Watetezitv on Twitter jeshi la polisi mkoani mwanza Linamshikili

Watetezitv On Twitter Jeshi La Polisi Mkoani Mwanza Linamshikili 254 likes, 0 comments polisi.tanzania on june 24, 2024: "ukaguzi magari ya wanafunzi mwanza kuzingatia maeneo saba, wamiliki waonywa jeshi la polisi mkoani mwanza limezindua kampeni ya wiki moja ya ukaguzi wa magari yanayotoa huduma za usafirishaji wa wanafunzi katika shule za umma na binafsi jijini humo kwa kuzingatia maeneo saba kwenye gari husika. katika kampeni hiyo iliyozinduliwa juni. 710 likes, 4 comments itvtz on august 7, 2024: "#habari: jeshi la polisi mkoani mwanza kwa kushirikiana na wananchi wa wilaya ya sengerema,katika eneo la butala mawe mawili,kisiwa cha yozu limefanikiwa kuopoa miili ya watu wawili miongoni mwa watu watano,ambao walizama maji wakati wakisafiri kutoka kisiwa cha yozu kuelekea kitongoji cha itabagumba kata ya burihaeke.

Comments are closed.