Take a fresh look at your lifestyle.

Misa Ya Shukrani Ya Askofu Thomas John Kiangio Mazinde Ngua Jimbo La Tanga

misa ya shukrani ya askofu thomas john kiangio ma
misa ya shukrani ya askofu thomas john kiangio ma

Misa Ya Shukrani Ya Askofu Thomas John Kiangio Ma Askofu mteule thomas john kiangio alizaliwa tarehe 17 machi 1965 huko mazinde ngua, jimbo katoliki la tanga. alipata malezi na majiundo yake ya kipadre kutoka seminari kuu ya mtakatifu antoni, ntungamano jimbo katoliki la bukoba na karoli lwanga, huko segerea jimbo kuu la dar es salaam. mnamo tarehe 16 julai 1997 alipewa daraja takatifu ya. Askofu mteule thomas john kiangio wa jimbo katoliki la tanga alizaliwa tarehe 17 machi 1965 huko mazinde ngua, tanga. alipata malezi na majiundo yake ya kipadre kutoka seminari kuu ya mtakatifu antony, ntungamano jimbo katoliki la bukoba na karol lwanga, segerea jimbo kuu la dar es salaam. mazoezi ya mwaka wa kichungaji aliyafanyia parokia ya.

Live misa Takatifu ya shukrani ya askofu thomas kiangio P
Live misa Takatifu ya shukrani ya askofu thomas kiangio P

Live Misa Takatifu Ya Shukrani Ya Askofu Thomas Kiangio P Mtazamaji wa st. anthony's cathedral tanga karibu katika adhimisho la misa takatifu ya shukrani kwa kutimiza mwaka mmoja wa uaskofu wa mhashamu thomas john. Jimbo la tanga pamoja na kanisa katoliki kote ulimwenguni leo hii linashuhudia misa ya kumsimika askofu wa 5 wa jimbo hili baada ya kukaa bila askofu kwa mia. This stream is created with #prismlivestudio. Askofu thomas john kiangio alizaliwa tarehe 17 machi, 1965 katika kijiji cha mazinde ngua wilayani korogwe, tanga anakuwa askofu wa tano baada ya kifo cha aliyekuwa askofu wa jimbo katoliki la tanga, hayati askofu anthony banzi aliyefariki tarehe 20 desemba, 2020. askofu kiangio amewahi kushika nafasi za kichungaji katika parokia ya ekaristi.

Live misa Takatifu ya shukrani ya askofu thomas kiangio P
Live misa Takatifu ya shukrani ya askofu thomas kiangio P

Live Misa Takatifu Ya Shukrani Ya Askofu Thomas Kiangio P This stream is created with #prismlivestudio. Askofu thomas john kiangio alizaliwa tarehe 17 machi, 1965 katika kijiji cha mazinde ngua wilayani korogwe, tanga anakuwa askofu wa tano baada ya kifo cha aliyekuwa askofu wa jimbo katoliki la tanga, hayati askofu anthony banzi aliyefariki tarehe 20 desemba, 2020. askofu kiangio amewahi kushika nafasi za kichungaji katika parokia ya ekaristi. ︎ karibu katika adhimisho la misa ya daraja takatifu ya kuwekwa wakfu na kusimikwa askofu mteule thomas kiangio wa jimbo katoliki la tanga. ︎ misa hii. M). 07.06.2023 padre thomas kiangio ateuliwa kuwa askofu wa jimbo katoliki tanga. askofu mteule thomas john kiangio alizaliwa 17.03.1965 katika kijiji cha mazinde ngua, kata ya mazinde ngua, katika wilaya ya korogwe katika mkoa wa tanga. wazazi wake ni baba john mussa kiangio na mama paulina ally suba.

Comments are closed.