Take a fresh look at your lifestyle.

Misa Takatifu Ya Shukrani Kwa Daraja Ya Upadre Padre Hamil

misa takatifu ya shukrani kwa daraja ya upadre pa
misa takatifu ya shukrani kwa daraja ya upadre pa

Misa Takatifu Ya Shukrani Kwa Daraja Ya Upadre Pa Itukuzwe damu ya kristo! milele amina! ️karibu mwanafamilia ya st. gaspar media! ️hili ni channel maalum inayomilikiwa na seminari kuu ya mt. gaspari del b. 𝐖𝐄𝐙𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐓𝐈𝐀 𝐌 𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐋𝐈𝐏𝐀 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀.

Live misa takatifu ya shukrani kwa daraja takatifu yaо
Live misa takatifu ya shukrani kwa daraja takatifu yaо

Live Misa Takatifu Ya Shukrani Kwa Daraja Takatifu Yaо Radio maria tanzanias.l.p 34573,mikocheni industrial area plot no. 125,barua pepe: [email protected]: radiomaria.co.tzmitandao mingine ya kij. Ni katika muktadha wa jubilei ya miaka 25 ya maisha, wito, utume na zawadi ya daraja takatifu, padre paul innocent maria kaigalura, o. carm., tarehe 15 septemba 2024, kwenye madhabahu ya bikira maria mkuu, jimbo kuu la napoli, italia, amemwimbia mungu utenzi wa sifa na shukrani kwa zawadi ya maisha na wito wa kipadre. ibada ya misa takatifu imeongozwa na askofu filippo iannone, o. carm. Naye padre richard mjigwa, c.pp.s., katika kusheherekea jubilei hii anasema: “miaka 25 ya daraja takatifu ya upadre ni zawadi, ni dhamana, ni utume na wajibu ambao mwenyezi mungu amenikabidhi kuutenda na kuhushuhudia kwa watu wa mataifa”. itakumbukwa kuwa katika miaka hii 25, padre richard mjigwa amewahi kuwa paroko usu kwa miaka 3 parokia ya mtongani, kunduchi jimbokuu la dar es salaam. Kardinali marcello semeraro ameadhimisha jubilei ya miaka 50 tangu alipopewa daraka takatifu ya upadre hapo tarehe 8 septemba 1971. sanjari na maadhimisho haya, tarehe 6 oktoba 2021 askofu mkuu yuda thaddeus ruwa’ichi ameadhimisha ibada ya misa takatifu kwa ajili ya jubilei ya mapadre saba wanaotekeleza dhamana na utume wao jimbo kuu la dar es salaam!.

Live misa ya shukrani kwa daraja ya upadre padre He
Live misa ya shukrani kwa daraja ya upadre padre He

Live Misa Ya Shukrani Kwa Daraja Ya Upadre Padre He Naye padre richard mjigwa, c.pp.s., katika kusheherekea jubilei hii anasema: “miaka 25 ya daraja takatifu ya upadre ni zawadi, ni dhamana, ni utume na wajibu ambao mwenyezi mungu amenikabidhi kuutenda na kuhushuhudia kwa watu wa mataifa”. itakumbukwa kuwa katika miaka hii 25, padre richard mjigwa amewahi kuwa paroko usu kwa miaka 3 parokia ya mtongani, kunduchi jimbokuu la dar es salaam. Kardinali marcello semeraro ameadhimisha jubilei ya miaka 50 tangu alipopewa daraka takatifu ya upadre hapo tarehe 8 septemba 1971. sanjari na maadhimisho haya, tarehe 6 oktoba 2021 askofu mkuu yuda thaddeus ruwa’ichi ameadhimisha ibada ya misa takatifu kwa ajili ya jubilei ya mapadre saba wanaotekeleza dhamana na utume wao jimbo kuu la dar es salaam!. #live || misa ya daraja takatifu ya upadre mahenge ︎ karibu tushiriki adhimisho la misa takatifu kutolewa kwa daraja takatifu ya upadre kwa shemasi. #live || misa ya upadrisho shinyanga • karibu ushiriki adhimisho la misa takatifu ya daraja takatifu la upadre kwa mashemasi 11 wa jimbo katoliki.

Comments are closed.