Take a fresh look at your lifestyle.

Maombi Ya Kuharibu Na Kuondoa Nguvu Za Giza Kwa Mamlaka Ya Jina La Yesu Kristo 18032023

maombi ya kuharibu nguvu za giza kwa Damu ya yesu
maombi ya kuharibu nguvu za giza kwa Damu ya yesu

Maombi Ya Kuharibu Nguvu Za Giza Kwa Damu Ya Yesu 5. ee bwana yesu, shusha moto juu ya kila roho ya mauti na kuzimu, iliyoandaliwa kwa ajili yangu, katika jina la yesu. 6. nina ponda kichwa na kukanyaga kila mkia wa majoka ya kiroho, katika jina la yesu. 7. upanga wa moto, na uanze kukata kila kifungo walichokifunga wazazi, katika jina la yesu. 8. Maombi ya kusambaratisha uchawi na nguvu za giza. baba katika jina la yesu. laana zote nilizo tupiwa na wabaya wangu zimeshindwa kwa jina la yesu na nazivunja na kuzisambaratisha kwa damu ya yesu. mshindwe wote mnao tuma laana kwangu katika jina la la yesu. nawavunja na kuwaharibu na kuwakatakata wachawi wote kwa damu ya yesu.

maombi Juu ya nguvu Mpya Disciples Network Store
maombi Juu ya nguvu Mpya Disciples Network Store

Maombi Juu Ya Nguvu Mpya Disciples Network Store Njia pekee ya kujinasua kutoka kwenye nguvu za giza ni kwa kumfanya yesu awe mkombozi na mwokozi wako. mfanye rafiki yako na mkaribishe kwenye maisha yako. watafute wachungaji ili wakuombee, huna haja ya kuteseka. maombi: baba ninakushukuru, natamka kwa jina la yesu, roho yoyote inayotenda mabaya, nguvu za ushirikina na kila roho iliyofanya mtu. Maombi ya kumteketeza shetani: baba katika jina la yesu: 1. ninayaharibu na kuyateketeza mamlaka yote aliyopewa shetani na mababu mababa, ndugu zangu katika jina la yesu. 2. nina zilaani na kuziteketeza kwa damu ya yesu roho zote zinazoendelea kutilia mkazo hayo maagano katika maisha yangu na naziteketeza na kuzivunavunja kwa jina la yesu. 3. Katika vitabu hivi nimeelezea vizuri namna ya kuushinda uchawi na nguvu za giza kwa jina la yesu kristo . aidha kuna maombi maalumu ndani ya kila kitabu, yenye uvuvio wa roho mtakatifu ambayo yatakusaidia kuwa huru na kila adha ya mateso, kukabwa na wachawi usiku, kuota ndoto mbaya mfano unalishwa vyakula, kulogwa na matatizo yanayofanana na hayo. Mshindwe wote mnao tuma laana kwangu katika jina la la yesu. nawavunja na kuwaharibu na kuwakatakata wachawi wote kwa damu ya yesu. nasambaratisha kila neno la uovu lililosemwa juu yangu na famila yangu katika jina la yesu. naharibu na kuisambaratisha madhabahu yenu mliyo fanyia kafara kwa damu ya yesu. navunjavunja na kubomoa kila uovu na.

maombi ya Kukutenga na nguvu za giza Zinazo Kuchafua Kuhani Elia
maombi ya Kukutenga na nguvu za giza Zinazo Kuchafua Kuhani Elia

Maombi Ya Kukutenga Na Nguvu Za Giza Zinazo Kuchafua Kuhani Elia Katika vitabu hivi nimeelezea vizuri namna ya kuushinda uchawi na nguvu za giza kwa jina la yesu kristo . aidha kuna maombi maalumu ndani ya kila kitabu, yenye uvuvio wa roho mtakatifu ambayo yatakusaidia kuwa huru na kila adha ya mateso, kukabwa na wachawi usiku, kuota ndoto mbaya mfano unalishwa vyakula, kulogwa na matatizo yanayofanana na hayo. Mshindwe wote mnao tuma laana kwangu katika jina la la yesu. nawavunja na kuwaharibu na kuwakatakata wachawi wote kwa damu ya yesu. nasambaratisha kila neno la uovu lililosemwa juu yangu na famila yangu katika jina la yesu. naharibu na kuisambaratisha madhabahu yenu mliyo fanyia kafara kwa damu ya yesu. navunjavunja na kubomoa kila uovu na. Kwa njia hiyo hiyo, tunaposema jina la yesu, hatuzungumzii tu jina. tunatangaza jina ambalo linaonyesha nguvu si nguvu za binadamu, bali nguvu zote na mamlaka ya mungu (tazama wakolosai 2: 9 10). tunaposema jina hilo, tunaelezea mtu. jina yesu linamaanisha “mwokozi,” na tunamwita kulingana na kile anachotutendea yeye anaokoa sisi kutoka kwa. Lakini paulo akasikitika, akageuka akamwambia yule pepo, nakuamuru kwa jina la yesu kristo, mtoke huyu. akamtoka saa ile ile. ” yesu ni yule yule na hajawahi kupunguza viwango vya mamlaka yake kwa wateule wake, ndugu hakikisha kanuni hii ya kutoa nje nguvu za giza unaitumia katika maombi yako, ni kanuni muhimu sana kwa muombaji makini.

nguvu ya maombi By Nestory Ihano 19 Feb 2017 Seazon2 Youtube
nguvu ya maombi By Nestory Ihano 19 Feb 2017 Seazon2 Youtube

Nguvu Ya Maombi By Nestory Ihano 19 Feb 2017 Seazon2 Youtube Kwa njia hiyo hiyo, tunaposema jina la yesu, hatuzungumzii tu jina. tunatangaza jina ambalo linaonyesha nguvu si nguvu za binadamu, bali nguvu zote na mamlaka ya mungu (tazama wakolosai 2: 9 10). tunaposema jina hilo, tunaelezea mtu. jina yesu linamaanisha “mwokozi,” na tunamwita kulingana na kile anachotutendea yeye anaokoa sisi kutoka kwa. Lakini paulo akasikitika, akageuka akamwambia yule pepo, nakuamuru kwa jina la yesu kristo, mtoke huyu. akamtoka saa ile ile. ” yesu ni yule yule na hajawahi kupunguza viwango vya mamlaka yake kwa wateule wake, ndugu hakikisha kanuni hii ya kutoa nje nguvu za giza unaitumia katika maombi yako, ni kanuni muhimu sana kwa muombaji makini.

Comments are closed.