Take a fresh look at your lifestyle.

Makali Ya Mgomo Wazazi Na Wanafunzi Waathirika Na Mgomo Unaoendelea Wa Walimu

mgomo wa wanafunzi Udsm May 31 2016 Youtube
mgomo wa wanafunzi Udsm May 31 2016 Youtube

Mgomo Wa Wanafunzi Udsm May 31 2016 Youtube Kwa habari zaidi tembelea qtv.nation.co.ketufuate kwa mtandao wa twitter twitter qtv kenyatufuate kwenye ukurasa wa facebook ww. Nchini kenya, walimu wa shule za upili walianza maandamano jumatatu, agosti 26. chama chao kikuu kilikuwa kimewasilisha notisi ya mgomo kwa muda usiojulikana. walimu walikusanyika katika miji.

mgomo wa Madereva wa Mabasi na Daladala Namna Ulivyo waathirika
mgomo wa Madereva wa Mabasi na Daladala Namna Ulivyo waathirika

Mgomo Wa Madereva Wa Mabasi Na Daladala Namna Ulivyo Waathirika Walimu haop walikwenda hatua zaidi na kutunga wimbo wakisema wameamua kuondoka darasani na kuwaacha wanafunzi mikononi mwa ulimwengu ili uwafunze. “tumeacha, tumeacha, tumeacha shule zote tumeacha, tumeacha wafunzwe na ulimwengu,” waliimba kiitikio hicho. wiki moja baada ya mgomo kuanza, baraza la kitaifa la uongozi la kuppet lilikutana. Wanafunzi, wazazi, walimu pamoja na washikadau wengine wanasubiri kuona jinsi bw ogamba atashughulikia wanafunzi kujiunga na gredi ya tisa ambayo kupitia mtaala wa utendaji na umilisi (cbc) ndio wa mwisho kwenye masomo ya shule ya msingi. “nitabadilisha tu sera ambazo hazifanyi kazi kwa sababu serikali ni ile ile,” akasema bw ogamba. Wanafunzi warudi nyumbani: mgomo wa walimu wa sekondari uliingia wiki ya pili mgomo uliathiri masomo katika shule za upili za umma wanafunzi waliorejea nyumbani sasa kujipanga upya #citizennipashe like. Mawaziri watatu wamejipata katika hali ngumu katika jitihada za kusimamisha mgomo ulioitishwa na walimu 406,635 kutokana na malalamishi kadhaa kwa tume ya huduma ya walimu (tsc). ili kupata suluhu, macho yote yanaelekezwa kwa waziri wa fedha john mbadi, dkt alfred mutua (waziri wa leba na ulinzi wa jamii) na bw julius mgosi ogamba (waziri wa.

Comments are closed.