Take a fresh look at your lifestyle.

Kukabiliana Na Nguvu Za Giza Kwa Njia Ya Maombi Sehemu Ya 2b

Dada Anaeteswa na nguvu za giza Kuzimu Afunguliwa Baada ya maombiођ
Dada Anaeteswa na nguvu za giza Kuzimu Afunguliwa Baada ya maombiођ

Dada Anaeteswa Na Nguvu Za Giza Kuzimu Afunguliwa Baada Ya Maombiођ Nayo nuru yang'aa gizani, wala giza halikuiweza.yohana 1:5. Maombi ya kusambaratisha uchawi na nguvu za giza. baba katika jina la yesu. laana zote nilizo tupiwa na wabaya wangu zimeshindwa kwa jina la yesu na nazivunja na kuzisambaratisha kwa damu ya yesu. mshindwe wote mnao tuma laana kwangu katika jina la la yesu. nawavunja na kuwaharibu na kuwakatakata wachawi wote kwa damu ya yesu.

nguvu ya maombi
nguvu ya maombi

Nguvu Ya Maombi 5. ee bwana yesu, shusha moto juu ya kila roho ya mauti na kuzimu, iliyoandaliwa kwa ajili yangu, katika jina la yesu. 6. nina ponda kichwa na kukanyaga kila mkia wa majoka ya kiroho, katika jina la yesu. 7. upanga wa moto, na uanze kukata kila kifungo walichokifunga wazazi, katika jina la yesu. 8. Njia pekee ya kujinasua kutoka kwenye nguvu za giza ni kwa kumfanya yesu awe mkombozi na mwokozi wako. mfanye rafiki yako na mkaribishe kwenye maisha yako. watafute wachungaji ili wakuombee, huna haja ya kuteseka. maombi: baba ninakushukuru, natamka kwa jina la yesu, roho yoyote inayotenda mabaya, nguvu za ushirikina na kila roho iliyofanya mtu. Baba umeniambia katika 2 timotheo 1:7 kwamba mungu hakunipa roho ya woga, bali ya nguvu na ya upendo na ya moyo wa kiasi. baba napinga roho ya woga, nakataa kuwa na wasiwasi, au kukatishwa tamaa. nautumia nguvu yako na mamlaka juu ya kila mipango na miradi ya adui. nadai ushindi kamili juu ya nguvu zote za giza, katika jina la yesu. Kuna watu wanapitia mateso mengi sana, wengine wamefungwa katika vifungo bila wao kujijua… siri za bibilia leo tuna muongozo ambao utakusaidia au itasaidia familia yako. biblia inapozungumza habari ya watu waliofungwa wapate kufunguliwa, hii ina maana ya kuwa kuna watu wamefungwa chini ya utawala wa nguvu za giza katika ulimwengu wa roho. watu hawa wamefungwa kwenye magereza na ibilisi.

maombi ya Kuvunja nguvu za giza Uchawi na Uganga Hapo Hapo Ulipo
maombi ya Kuvunja nguvu za giza Uchawi na Uganga Hapo Hapo Ulipo

Maombi Ya Kuvunja Nguvu Za Giza Uchawi Na Uganga Hapo Hapo Ulipo Baba umeniambia katika 2 timotheo 1:7 kwamba mungu hakunipa roho ya woga, bali ya nguvu na ya upendo na ya moyo wa kiasi. baba napinga roho ya woga, nakataa kuwa na wasiwasi, au kukatishwa tamaa. nautumia nguvu yako na mamlaka juu ya kila mipango na miradi ya adui. nadai ushindi kamili juu ya nguvu zote za giza, katika jina la yesu. Kuna watu wanapitia mateso mengi sana, wengine wamefungwa katika vifungo bila wao kujijua… siri za bibilia leo tuna muongozo ambao utakusaidia au itasaidia familia yako. biblia inapozungumza habari ya watu waliofungwa wapate kufunguliwa, hii ina maana ya kuwa kuna watu wamefungwa chini ya utawala wa nguvu za giza katika ulimwengu wa roho. watu hawa wamefungwa kwenye magereza na ibilisi. Ni njia nzuri ya kupata ukombozi kutoka kwa nguvu za giza na kuwa karibu na mungu. kwa kutumia nguvu ya damu ya yesu, mkristo anaweza kuomba kwa mungu kwa ajili ya uponyaji na ukombozi. wakristo wanahimizwa kutumia nguvu ya damu ya yesu kila siku kama njia ya kudumisha uhusiano wao na mungu. editor: melkisedeck leon shine. Siri za bibilia leo tuna muongozo ambao utakusaidia au itasaidia familia yako. biblia inapozungumza habari ya watu waliofungwa wapate kufunguliwa, hii ina maana ya kuwa kuna watu wamefungwa chini ya utawala wa nguvu za giza katika ulimwengu wa roho. watu hawa wamefungwa kwenye magereza na ibilisi.

nguvu ya maombi
nguvu ya maombi

Nguvu Ya Maombi Ni njia nzuri ya kupata ukombozi kutoka kwa nguvu za giza na kuwa karibu na mungu. kwa kutumia nguvu ya damu ya yesu, mkristo anaweza kuomba kwa mungu kwa ajili ya uponyaji na ukombozi. wakristo wanahimizwa kutumia nguvu ya damu ya yesu kila siku kama njia ya kudumisha uhusiano wao na mungu. editor: melkisedeck leon shine. Siri za bibilia leo tuna muongozo ambao utakusaidia au itasaidia familia yako. biblia inapozungumza habari ya watu waliofungwa wapate kufunguliwa, hii ina maana ya kuwa kuna watu wamefungwa chini ya utawala wa nguvu za giza katika ulimwengu wa roho. watu hawa wamefungwa kwenye magereza na ibilisi.

maombi ya Kuharibu nguvu za giza kwa Damu ya Yesu Kristo Y
maombi ya Kuharibu nguvu za giza kwa Damu ya Yesu Kristo Y

Maombi Ya Kuharibu Nguvu Za Giza Kwa Damu Ya Yesu Kristo Y

Comments are closed.