Take a fresh look at your lifestyle.

Kilele Cha Wiki Ya Mwananchi Ni Agosti 4 Dar

Young Africans Yaazimisha kilele cha wiki ya mwananchi Kigumu Tff
Young Africans Yaazimisha kilele cha wiki ya mwananchi Kigumu Tff

Young Africans Yaazimisha Kilele Cha Wiki Ya Mwananchi Kigumu Tff Kilele cha wiki ya mwananchi, siku maalum kwa yanga kutambulisha kikosi kipya ni agosti 4, mwaka huu uwanja wa benjamin mkapa jijini dar es salaam. vİdeo: utambulisho wa kilele cha wiki ya mwananchi. share article: newer post older post. blogger comments. Aziz ki anogesha kilele cha 'wiki ya mwananchi', yanga ikiilaza red arrows. jumapili, agosti 04, 2024. pati pict. by daudi elibahati. reporter. mwananchi communications limited. mchezo wa kirafiki kati ya yanga na red arrows ya zambia, umemalizika kwenye uwanja wa benjamin mkapa jijini dar es salaam kwa wenyeji kushinda kwa mabao 2 1.

Kikosi cha Yanga Kitakachoanza Leo Dhidi ya Zanaco kilele cha wiki
Kikosi cha Yanga Kitakachoanza Leo Dhidi ya Zanaco kilele cha wiki

Kikosi Cha Yanga Kitakachoanza Leo Dhidi Ya Zanaco Kilele Cha Wiki Yanga ni klabu ya kimataifa hatuwekezi kwenye propaganda kama wenzetu sisi tunawekeza kwenye utendaji kazi,” alisema. mwanaspoti. kata kiu ya michezo na burudani. kilele cha wiki ya mwananchi (yanga day) kinahitimishwa leo agosti 4, katika uwanja wa benjamin mkapa, jijini dar es salaam kwa klabu hiyo kutambulisha kikosi kipya cha wachezaji na. Aziz ki alivyonogesha siku ya mwananchi. mchezo wa kirafiki kati ya yanga na red arrows ya zambia, uliopigwa jana agosti 4, 2024 kwenye uwanja wa benjamin mkapa jijini dar es salaam wenyeji waliibuka kwa ushindi wa mabao 2 1. timu hizo zimekutana katika mchezo wa kirafiki wa kuhitimisha kilele cha 'wiki ya mwananchi', ambapo red arrows. Kuelekea maadhimisho ya kilele cha wiki ya mwananchi siku ya jumapili ya agosti 4, mwaka huu, uongozi wa yanga kwa kushirikiana na kampuni ya sportpesa ambao ni wadhamini wao wakuu wametangaza tukio kubwa la supu day siku ya jumamosi ya agosti 3, mwaka huu. Klabu imetangaza viingilio vya tamasha la wiki ya mwananchi ambalo kilele chake ni agosti 4, 2024 kwenye uwanja wa benjamin mkapa, dar es salaam. viingilio hivyo vimegawanywa katika makundi manne ili kutoa fursa kwa kila mwananchi kujitokeza uwanjani siku hiyo kushuhudia burudani za wiki ya mwananchi.

Yanga Kucheza Dhidi ya Red Arrows Kwenye kilele cha wiki ya mwananc
Yanga Kucheza Dhidi ya Red Arrows Kwenye kilele cha wiki ya mwananc

Yanga Kucheza Dhidi Ya Red Arrows Kwenye Kilele Cha Wiki Ya Mwananc Kuelekea maadhimisho ya kilele cha wiki ya mwananchi siku ya jumapili ya agosti 4, mwaka huu, uongozi wa yanga kwa kushirikiana na kampuni ya sportpesa ambao ni wadhamini wao wakuu wametangaza tukio kubwa la supu day siku ya jumamosi ya agosti 3, mwaka huu. Klabu imetangaza viingilio vya tamasha la wiki ya mwananchi ambalo kilele chake ni agosti 4, 2024 kwenye uwanja wa benjamin mkapa, dar es salaam. viingilio hivyo vimegawanywa katika makundi manne ili kutoa fursa kwa kila mwananchi kujitokeza uwanjani siku hiyo kushuhudia burudani za wiki ya mwananchi. Baada ya michezo hiyo ya afrika kusini, yanga inarejea hapa nchini kujiandaa na tamasha la kilele cha wiki ya mwananchi ambacho kinatarajiwa kuhitimishwa rasmi agosti 4, mwaka huu, kwenye uwanja wa benjamin mkapa jijini dar es salaam. Saada akida august 1, 2024. dar es salaam: klabu ya yanga imeweka wazi wasanii watakaoburudisha katika kilele cha wiki ya mwananchi, agosti 4, mwaka huu katika uwanja wa benjamin mkapa , jijini dar es salaam. wasanii hao ni rajab abdul ‘harmonize’, marioo na christian bella ambao watatoa burudani kabla ya yanga kutambulisha wachezaji wao.

Comments are closed.