Take a fresh look at your lifestyle.

Dua Ya Mtume S A W Kwa Wenye Kusali Sala Hizi Ukitaka Kuwa Walii

dua Ya Mtume S A W Kwa Wenye Kusali Sala Hizi Ukitaka Kuwa Walii
dua Ya Mtume S A W Kwa Wenye Kusali Sala Hizi Ukitaka Kuwa Walii

Dua Ya Mtume S A W Kwa Wenye Kusali Sala Hizi Ukitaka Kuwa Walii Dua ya mtume (s.a.w) kwa wenye kusali sala hii ukitaka kuwa walii fanya mambo haya sheikh walid alhad omarmashaa allah sheikh walid bin sheikh alhad omar a. Dua ya mtume (s.a.w) kwa wenye kusali sala hizi ukitaka kuwa walii fanya hivi sheikh walid alhad omarmashaa allah sheikh walid alhad omar akielezea kwa uz.

dua ya mtume kwa Mtu Mwenyekusali sala Hii Faida Za sala Za Watu
dua ya mtume kwa Mtu Mwenyekusali sala Hii Faida Za sala Za Watu

Dua Ya Mtume Kwa Mtu Mwenyekusali Sala Hii Faida Za Sala Za Watu 17. amesema mtume muhammad mustafa s.a.w.w., man la yahdhurul faqihi, j.1, uk. 206: “mtu yeyote aichukuliaye sala pasi na uzito wake, basi hatokani nami. hapana, kwa kiapo cha allah swt, mtu kama huyo hatafikia chemchemi ya haudh kawthar” 18. amesema al imam ja’far as sadiq a.s., katika bihar al anwaar, juzuu 82, ukurasa 236:. Kuacha kusali kwa uvivu haichukuliwi kuwa ni kisingizio cha halali, basi mwenye kuiacha kwa uzembe na uvivu. ilitubidi kuendelea kumnasihi na kumtia moyo kuihifadhi kwa hekima na nasaha njema. kama alivyosema mwenyezi mungu: “waite waelekee kwenye njia ya mola wako mlezi kwa hikima na mawaidha mema” [an nahl: 125], kwa subira katika hilo. Amesema amir ul muminiin al imam ‘ali ibn abi talib a.s. bihar al anwar, j.93,uk. 343: “mujiweke tayari kuomba dua katika nyakati tano: wakati isomwapo qur’an; wakati utolewapo aadhaan; wakati inaponyesha mvua; wakati wa kwenda kupigana katika vita vitakatifu kwa ajili ya kuwa shahidi; wakati madhulumu anapoomba dua, kwa sababu yeye hana. Dua za kufungulia sala. ewe mwenyezi mungu niweke mbali na madhambi yangu kama ulivyoweka mbali baina ya mashariki na magharibi, ewe mwenyezi mungu nitakase na madhambi yangu kama vile inavyotakaswa nguo nyeupe kutokana na uchafu,ewe mwenyezi mungu nisafishe na madhambi yangu kwa theluji na kwa maji na kwa barafu. kutakasika ni kwako ewe.

Comments are closed.