Take a fresh look at your lifestyle.

Chuo Kikuu Mzumbe Watambulisha Mradi Wa Mageuzi Sekta Ya Elimu

chuo Kikuu Mzumbe Watambulisha Mradi Wa Mageuzi Sekta Ya Elimu
chuo Kikuu Mzumbe Watambulisha Mradi Wa Mageuzi Sekta Ya Elimu

Chuo Kikuu Mzumbe Watambulisha Mradi Wa Mageuzi Sekta Ya Elimu Ikiwa ni muendelezo wa utekelezaji wa mradi wa elimu ya juu kwa mageuzi ya kiuchumi "heet project" leo agosti 30,2024 chuo kikuu mzumbe kimeandika historia nyingine kwa kusaini mikataba minne ya utekelezaji wa mradi huo pamoja na kukabidhi kwa mkandarasi eneo la ujenzi wa kampasi mpya ya tanga inayoanza kujengwa wilayani mkinga katika kata ya gombero. Ndaki mpya ya chuo kikuu mzumbe kujengwa tanga. michuzi blog at tuesday, january 09, 2024 habari, chuo kikuu mzumbe kupitia mradi wa elimu ya juu kwa mageuzi ya kiuchumi, "higher education for economic transformation heet project," januari 8, 2024 kimekabidhi eneo la ujenzi wa ndaki ya tanga kwa mshauri mwelekezi kwa kampuni ya mekon arch.

chuo Kikuu Mzumbe Watambulisha Mradi Wa Mageuzi Sekta Ya Elimu
chuo Kikuu Mzumbe Watambulisha Mradi Wa Mageuzi Sekta Ya Elimu

Chuo Kikuu Mzumbe Watambulisha Mradi Wa Mageuzi Sekta Ya Elimu Mzumbe university, p.o box 1 mzumbe, morogoro, tanzania. tel: 255 (0) 23 2931220 1 2. fax: 255 (0) 23 2931216. cell: 255 (0) 754694029. email: [email protected]. mzumbe university was established by the mzumbe university charter, 2007 under section 25 of the universities act. no. 7 of 2005 which repealed mzumbe university act. no 9 of 2001. Rais dkt. samia ateua, aridhia uteuzi wa viongozi tanzania, kenya, uganda mwenyeji afcon 2027 mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri na makatibu wakuu breaking news: rais mwinyi ateua viongozi wa tume ya uchaguzi zanzibar breakiing news: balozi ali karume afukuzwa ccm. Bilioni 16.5 kukamilisha ujenzi wa chuo kikuu mzumbe kampasi ya tanga. michuzi blog at monday, july 22, 2024 habari, makamu mkuu chuo kikuu mzumbe, prof. william mwegoha (katikati) akiwasilisha taarifa ya hatua za ujenzi wa chuo kikuu mzumbe kampasi ya tanga kupitia mradi wa elimu kwa mageuzi ya kiuchumi kwa mkuu wa mkoa wa tanga, mhe. Prof. mwegoha amesema kuwa chuo kikuu mzumbe kimeendelea kutekeleza miradi ya ujenzi na ukarabati wa miundombinu kama mradi wa elimu ya juu kwa mageuzi ya kiuchumi kwa tanzania (higher education for economic transformation, (heet)) ambao unafadhiliwa na benki ya dunia kama mkopo kwa serikali ya tanzania.

Comments are closed.